

Lugha Nyingine
详解亮相阎良的改进型运20 或为预警机平台换新航发
(Tovuti ya Gazeti la Umma) Julai 22, 2025
![]() |
Picha iliyopigwa Julai 20, 2025 ikionyesha mandhari ya ziwa la chumvi katika Wilaya ya Gegye ya Eneo la Ngari, Mkoa unaojiendesha wa Xizang, kusini-magharibi mwa China. (Xinhua/Tenzing Nima Qadhup) |
Wilaya ya Gegye ya Eneo la Ngari katika Mkoa unaojiendesha wa Xizang, kusini-magharibi mwa China ni sehemu yenye maliasili nyingi za chumvi. Wilaya hiyo imeanzisha kiwanda cha kuchakata chumvi ghafi, na inaunda hatua kwa hatua mnyororo wa uzalishaji wa kiwanda hicho unaohusisha kazi za uvunaji, uhifadhi, uchakataji, ufungashaji na uuzaji chumvi, ili kuongeza mapato ya wanakijiji. Mwaka 2018, desturi ya wilaya hiyo ya kondoo kubeba chumvi iliwekwa kwenye orodha ya uwakilishi wa mali ya urithi wa utamaduni usioshikika ya Mkoa huo unaojiendesha wa Xizang.
(Wahariri wa tovuti:Song Ge,Zhao Jian)
Kuhusu Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma